| :: Mchongoano 101
:: Ati
TV yenu ni small mpaka iko na scrollbars.
:: Hao yenyu ni
ndogo, ukiingia, umetoka.
:: Wewe mweusi mpaka
ukirushiwa mawe, mawe inarudi kuitisha torch
:: Wewe mgondi mpaka
ukishikilia ten bob Moi anabaki na vest peke yake
:: Budako
ni fala alienda airport akauliza kama kuna ndege pick-up
:: Budako
fala alipaint aerial ya TV yenu ndiyo ireceive color
:: Wewe
ni bowlegged na manzi wako ni knock-kneed, mukisimama pamoja muna
spell 'OX'
:: Paka
wenu ni mnoma mpaka aki shika panya inaitisha chumvi
:: Nyinyi
ni mababi mpaka mnapikanga chapo na Robb ndio zikue chapo menthol
:: Wewe
ni mblack mpaka ukikutana na mzungu morning anakushow 'good evening?''.
:: Ngombe
yenu ni mzee mpaka inatoanga yogurt.
:: Nyinyi
kwenu mumesota mpaka mna-kunywanga chai kwa kifuniko ya Bic.
:: Budako
ni fala, alienda kubuy ngombe akaona ikikojoa akasema, sitaki
hiyo, imetoboka.
:: Nyanyako mzee
mpaka chawa za nywele yake hutembea na bakora.
:: TV yenyu ndogo
mpako mukiwatch 100m athletics munalizia kuiona kwa ma neighbours.
:: Doggy yenu noma,
inabark ikitweng 'werf!! werf!!''
:: Budako mrefu
mpaka anauza mahindi kwa watu kwa plane
:: ati wewe mweusi
mpaka unaacha fingerprints zako kwa makaa
:: ati mathako mnono
akivaa nguo ya yellow watu hufikiria ni taxi
:: we ni mweusi
mpaka mabeste wakikupita wanasema"haiya cheki shortcut!"
:: Brother yako
ako na skin tight mpaka aki-wink mguu moja inainuka
:: Nyi muko wengi
hadi mukipigwa family photo wengine wanahang kwa frame
:: ati wewe ni
mweusi mpaka badala ya wasee kukuita wao huimba ile advert ya
kiwi" hebu jitokeze , jionyeshe simama mbele ya watu..."
From Lorraine. Good stuff.
<< Back Home
| All Categories |
Talk to Nairobiliving.com! >>
|